Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Mei 20, 2024 Local time: 11:51

Babaka mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya ataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha kifo chake


Babaka mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya ataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha kifo chake
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Akizungumza na waandishi wa habari, babake mwanariadha bingwa wa Marathon Kelvin Kiptum wa Kenya alieleza mashaka kuhusu ripoti ya jinsi ajali ya barabarani ilivyomuua mwanawe na akataka uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha ajali hiyo.

XS
SM
MD
LG