Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Mei 17, 2024 Local time: 09:47

Kampeni za wabunge DRC na kero lililojitokeza kwa baadhi ya watu


Kampeni za wabunge DRC na kero lililojitokeza kwa baadhi ya watu
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:12 0:00

Kumesalia siku 9 pekee kabla ya wapiga kura wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kwenda kuwachagua wabunge wakitaifa, majimbo pamoja na kumchagua raisi mpya.

Mashindano ni makali kati ya wanasiasa wakongwe na vijana wengi waliojitokeza safari hii kugombea viti vya bunge kwa kile wengi wamesema ni kuleta mageuzi katika serikali. Lakini pia kumekuwa na kero kwa baadhi ya watu huku wachambuzi wakisema shida ni pesa na baadhi ya wagombea wanatumiwa na mamlaka. Kutoka Kinshasa Mwandoshi wetu Byobe Malenga na taarifa Zaidi.

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG