Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Aprili 29, 2024 Local time: 10:37

AFCON 2023: Cape Verde yaishangaza Ghana


AFCON 2023: Cape Verde yaishangaza Ghana
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:11 0:00

Kocha wa Cape Verde Pedro 'Bubista' Brito amepongeza ladha maalum ya timu yake baada ya ushindi wao wa kushtukiza wa bao 2-1 dhidi ya mabingwa mara nne wa zamani Ghana katika mchezo wao wa ufunguzi wa Kombe la Mataifa ya Afrika  mjini Abidjan.

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG