Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Mei 06, 2024 Local time: 22:23

Mashambulizi ya Islamic State yawasababisha maelfu ya Wakurdi kukimbia Syria

Maelfu ya Wakurdi wa Syria wameanza kuvuka mpaka kuingia Uturuki wakiwakimbia wanamgambo wa Islamic State wanaosonga mbele kufikia vijiji vyao. Uturuki ilifungua tena mipaka yake na Syria Sept. 19 wakihofia huwenda waimbizi zaidi ya lake moja wataimbia mashambulizi ya IS.

Makundi

XS
SM
MD
LG