Protesters took to the streets once again on Saturday, as the “Justice for All” march arrives in Washington, D.C. and people around the country hold their own demonstrations in solidarity with the families of Michael Brown, Eric Garner and others who have been killed by police. Attached are all photos. We have additional videos and interviews if needed.
Wamarekani waandamana dhidi ya utumiaji nguvu wa polisi
Maelfu ya watu waliandamana Washington na miji mingine mikubwa ya Marekani siku ya Jumamosi kulaani utumiaji nguvu wa polisi na hali yakuofunguliwa mashtaka. Maandamano yamefanyika hasa baada ya kuuliwa kwa raia kadhaa wenye asili ya kiafrika na hakuna polisi aliyefunguliwa mashtaka kwa mauwaji hayo.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017