Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 15:07

Wamarekani waandamana dhidi ya utumiaji nguvu wa polisi

Maelfu ya watu waliandamana Washington na miji mingine mikubwa ya Marekani siku ya Jumamosi kulaani utumiaji nguvu wa polisi na hali yakuofunguliwa mashtaka. Maandamano yamefanyika hasa baada ya kuuliwa kwa raia kadhaa wenye asili ya kiafrika na hakuna polisi aliyefunguliwa mashtaka kwa mauwaji hayo.

Protesters took to the streets once again on Saturday, as the “Justice for All” march arrives in Washington, D.C. and people around the country hold their own demonstrations in solidarity with the families of Michael Brown, Eric Garner and others who have been killed by police. Attached are all photos. We have additional videos and interviews if needed.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG