Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 11:40

Rotich na Desisa washinda mbio za Boston Marathon 2015

Mwanadada wa Kenya Caroline Rotich aliibuka mshindi wa mbio ndefu za Boston Marathon upande wa wanawake, nae Lelisa Desisa wa Ethiopia alirudia ushindi wake wa mwaka jana kwa kushinda mbio za wanaume akitumia muda wa saa mbili, dakika 9 na sekunde 17

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG