Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 23:26

Wamsumbiji wapiga kura katika uchaguzi mkuu wenye ushindani mkubwa

Wapiga kura wa Msumbiji walipiga kura Jumatano katika uchaguzi wa kwanza wenye ushindani mkubwa tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo 1992, na kufanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1994. Kuna wagombea watatu wanaopigania kiti cha rais.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG